RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na mgeni
wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania .Mhe.Sandro Agostinho De Oliveira ,
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, leo
Ikulu. 6-2-2020

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na mgeni
wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe.Sandro Agostinho de Oliveira,
alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na
kujitambulisha leo 6-2-2020

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza mgeni wake
Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe. Sandro Agostinho de Oliveira,
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo ,
6-2-2020

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiongozana na mgeni wake
Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe.Sandro Agostinho de Oliveira,
wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yaliofanyika Ikulu
Jijini Zanzibar leo 6-2-2020, alipofika kujitambulisha.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...