RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na  mgeni wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania .Mhe.Sandro Agostinho De Oliveira , alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, leo Ikulu. 6-2-2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe.Sandro Agostinho  de Oliveira, alipowasili katika ukumbi  wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 6-2-2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe. Sandro Agostinho de  Oliveira, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo , 6-2-2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiongozana na mgeni wake Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe.Sandro Agostinho de Oliveira, wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar leo 6-2-2020, alipofika kujitambulisha.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...