RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed akiwasilisha  muktasari wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kushoto kwa Waziri) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na (kulia kwa Waziri) Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.  Mihayo Juma N’hunga
BAADHI ya Wakurugenzi wa Idara za Ofisi  mbalimbali za Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, wakifuatilia  mkutano huo wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020. Ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani)  uliuofanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar.
BAADHI ya Maofisa wa Idara mbalimbali za Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , wakifuatila taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi  kwa Ofisi yao kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, wakati Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo akiwasilisha Taarifa ya Mpango kazi, Ndg. Abdalla Hassan Mitawi,(hayupo pichani) mkutano  uliofanyika  ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg. Abdalla Hassan Mitawi akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019/2020, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
KATIBU wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg.Mohammed Ali Abdalla, akijibu maswali yaliouliza katika mkutano huo wa uwasilishwaji wa taarifa ya Utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019/2020. Uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) (Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...