Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akizungumza katika sherehe ya kuwaaga Wageni kutoka Taasisi ya Rafiki Elimu huko Skuli ya Mwera Wilaya ya Kati .
 Mkuu wa Wilaya ya Kati Hamida Mussa Khamiss akizungumza katika sherehe ya kuwaaga Wageni kutoka Taasisi ya Rafiki Elimu huko Skuli ya Mwera Wilaya ya Kati .
 Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud akimkabidhi Jezi za Mpira Mwanafunzi Nassor Hassan kutoka Skuli ya Mwera Msingi katika sherehe ya kuwaaga Wageni kutoka Taasisi ya Rafiki Elimu huko Skuli ya Mwera Mkoa wa Kusini Unguja.
  Katibu Msaidizi kutoka  Taasisi ya Rafiki Elimu Said Shaame Khamis akitoa Shukurani kuhusu mashirikiano waliyoyapata katika kufanya kazi yao huko Skuli ya Mwera Wilaya ya Kati.
 Mwalimu Riziki kutoka Skuli ya Mwera Msingi akisoma Risala  katikasherehe ya kuwaaga Wageni kutoka Taasisi ya Rafiki Elimu huko Skuli ya Mwera Mkoa wa Kusini Unguja.
Wanafunzi wa Skuli ya Mwera Msingi wakicheza mchezo wa kuvuta kamba na Ngoma huko Mwera Wilaya ya Kati Unguja Katika  sherehe ya kuwaaga Wageni kutoka Taasisi ya Rafiki Elimu.
 Picha ya pamoja wakiwemo Wageni kutoka  Taasisi ya Rafiki Elimu, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud na Mkuu wa Wilaya ya Kati Hamida Mussa Khamiss . Picha Na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...