Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio
(Aliyesimama) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya
Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wajumbe hao wamepokea Taarifa ya Mradi
wa Ujenzi Makao Makuu ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),
Jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio
(Katikati), akimsikiliza Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo
ya Nje, Ulinzi na Usalama, Salum Rehani (Wa kwanza kulia) alipokuwa
akisisitiza jambo wakati Kamati hiyo ilipokuwa ikipokea Taarifa ya
Mradi wa Ujenzi Makao Makuu ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
(NIDA), Jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio
(Watano kushoto) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya
Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wajumbe wa Kamati hiyo wamekagua eneo
utakapofanyika Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Vitambulisho
vya Taifa (NIDA), Jijini Dodoma leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anorld
Kihaule (Wa kwanza kulia) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati
ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wajumbe wa Kamati hiyo
wamekagua eneo utakapofanyika Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Mamlaka
ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Jijini Dodoma leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anorld
Kihaule (Wa kwanza kulia) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati
ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wajumbe wa Kamati hiyo
wamekagua eneo utakapofanyika Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Mamlaka
ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Wa
kwanza kushoto), Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje,
Ulinzi na Usalama, Salum Rehani (Wa pili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anorld Kihaule (Wa kwanza
kulia) pamoja na Wajumbe wengine wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje,
Ulinzi na Usalama, wakitoka kukagua eneo la Mradi wa Ujenzi wa Makao
Makuu ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Jijini Dodoma leo..
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anorld Kihaule (Wa kwanza kulia) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wajumbe wa Kamati hiyo wamekagua eneo utakapofanyika Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Jijini Dodoma leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...