Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla, leo amekutana na viongozi wa Wilaya ya Ngorongoro, Viongozi wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro na Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile zilizokuwa zinatekelezwa na Baraza la Wafugaji Ngorongoro.
Mkutano huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Swagaswaga, umehudhuriwa na Naibu Waziri Wizara ya Maliasili na Utaliii Mhe. Constantine Kanyasu, Mbunge wa Ngorongoro na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia Mhe. William Ole Nasha, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Adolf Mkenda , Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Rashid Mfaume Taka na Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Maurus Msuha.
Wengine waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Prof. Abiud Kaswamila, Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Freddy Manongi, Meneja wa Maendeleo ya Jamii wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Bw. Fedes Mdala. na Mwenyekiti wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro, Bw. Edward Maura.
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile zilizokuwa zinatekelezwa na Baraza la Wafugaji Ngorongoro.
Mkutano huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Swagaswaga, umehudhuriwa na Naibu Waziri Wizara ya Maliasili na Utaliii Mhe. Constantine Kanyasu, Mbunge wa Ngorongoro na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia Mhe. William Ole Nasha, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Adolf Mkenda , Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Rashid Mfaume Taka na Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Maurus Msuha.
Wengine waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Prof. Abiud Kaswamila, Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Freddy Manongi, Meneja wa Maendeleo ya Jamii wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Bw. Fedes Mdala. na Mwenyekiti wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro, Bw. Edward Maura.
Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Freddy Manongi, akifafanua jambo wakati wa mkutano wa kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .
Waziri
wa Maliasili na Utaliii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza wakati wa
mkutano na viongozi wa Wilaya ya Ngorongoro, Viongozi wa Baraza la
Wafugaji Ngorongoro na Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la
Ngorongoro kuhusu utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la
Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro . Kushoto
kwa Waziri Kigwalla ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof.
Adolf Mkenda, na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi
ya Ngorongoro Prof. Abiud Kaswamila.
Mwenyekiti
wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro, Bw. Edward Maura ( wa kwanza kulia)
akizungumza wakati wa mkutano wa kujadili utaratibu wa usimamizi wa
fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili
ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya
Ngorongoro .
Katibu
Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda akizungumza
wakati wa mkutano na viongozi wa Wilaya ya Ngorongoro, Viongozi wa
Baraza la Wafugaji Ngorongoro na Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo
la Ngorongoro kuhusu utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la
Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro . Kushoto
ni Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya
Ngorongoro Prof. Abiud Kaswamila.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda, akimkaribisha
Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utaliii Dkt. Hamisi Kigwangalla kwenye
kikao cha kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la
Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .
kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Swagaswaga kwenye ofisi
ndogo za Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dodoma .
Meneja
wa Maendeleo ya Jamii wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bw. Fedes
Mdala akitoa maelezo wakati wa mkutano wa kujadili utaratibu wa
usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la
Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa
katika Tarafa ya Ngorongoro .
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Maurus Msuha akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro ( kutoka kulia ) ni Meneja wa Mipango na Uwekezaji wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Bw. Needpeace Wambuya, Mhasibu Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Bw. Mathew Mkunda na
Meneja wa maendeleo ya Jamii wa Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro, Bw. Fedes Mdala kabla ya mkutano huo kuanza.
Meneja wa maendeleo ya Jamii wa Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro, Bw. Fedes Mdala kabla ya mkutano huo kuanza.
Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Rashid Mfaume Taka, akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Prof. Abiud Kaswamila ( aliye katikati) na Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Maurus Msuha ( Kushoto) mara tu banda ya kuwasili kwa ajili ya mkutano wa kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...