WAZIRI Asiyekuwa na Wizara Maalum (MBM) Mhe Said Soud Said akipimwa joto la mwili kabla ya kuingia katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi Kilichofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.25/11/2020. Anayefuata ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasi Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam Juma Sadala.(Picha na Ikulu)
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Bi. Radhia Haroub Rashid, akipimwa joto la mwili kutumia mashine maalum, wakati akiwasili katika viwanja Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed  akiwa katika zoezi la kupimwa joto la mwili  kabla ya kuingia katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo,25/11/2020.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Khamis Juma Mwalim akipimwa joto la mwili kutumia mashine maalum, wakati akiwasili katika viwanja vya Ikulu kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika leo 25/11/2029 Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed akipimwa joto la mwili wakati akiwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika leo Ikulu 25/11/2020 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Mhe. Balozi.Ali  Abeid Karume akipimwa joto la mwili kabla ya kuingia katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika leo 25/11/2020.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...