Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi,Uhamiaji na Magereza,George Simbachawene akimuapisha Mrakibu Ali Juma Abdulkadir(kushoto) kuwa mtumishi wa tume hiyo kabla ya kuanza kwa kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo katika Ukumbi wa wizara hiyo,Mtumba jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi,Uhamiaji na Magereza,George Simbachawene akimuapisha Naibu Kamishna Anthon Rutashubulugukwa(kushoto) kuwa mtumishi wa tume hiyo kabla ya kuanza kwa kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo katika Ukumbi wa wizara hiyo,Mtumba jijini Dodoma.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi,Uhamiaji na Magereza,George Simbachawene akimuapisha Mrakibu Msaidizi,Nicodemus Tenga(kushoto)kuwa mtumishi wa tume hiyo kabla ya kuanza kwa kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo katika Ukumbi wa wizara hiyo,Mtumba jijini Dodoma.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi,Uhamiaji na Magereza,George Simbachawene akimuapisha Afisa Utawala Mkuu,Erick Mbembati (kushoto), kuwa mtumishi wa tume hiyo kabla ya kuanza kwa kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo katika Ukumbi wa wizara hiyo,Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi, Uhamiaji na Magereza, George Simbachawene (katikati), Naibu Waziri wa wizara hiyo ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa tume hiyo, Mhandisi Hamad Masauni (kulia) na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Christopher Kadio(kushoto), wakiongoza kikao cha tume hiyo kilichofanyika leo katika Ukumbi wa wizara jijini Dodoma.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...