Mratibu wa Kamati ya Programu ya mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kutoka TYEC Mkoa wa Singida, Stella Mwagowa (kulia) akitoa elimu ya namna ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani pamoja na wafanyakazi wa mabasi katika stendi kuu ya mabasi mkoani hapa.
Macmillan Marco, kutoka TYEC  akitoa elimu hiyo kwa abiria ndani ya basi.

 Mmoja wa Wanajumuiya ya TYEC, Richard  Assey, akionesha namna ya kujipaka Sanitizer kwa ajili ya kujikinga na Virusi vya Corona.
 Baadhi ya Vijana kutoka TYEC wanaojitolea  kutoa elimu  ya mapambano dhidi ya kuenea kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na Virusi vya Corona wakitoa elimu hiyo kwa wafanyabiashara walio na vibanda vyao kuzunguka Stendi ya Mabasi mkoani hapa.
Mratibu wa Kamati ya Programu ya mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kutoka TYEC Mkoa wa Singida, Stella Mwagowa, akionesha jinsi ya kunawa ili kujikinga na Virusi vya Corona.
Afisa wa Polisi, Rashid Mirambo, akitoa elimu ya namna ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa . Kushoto ni Mwenyekiti wa TYEC, Mkoa wa Singida, Stanley Roman.
Macmillan Marco (kulia) kutoka TYEC  akitoa elimu hiyo kwa wafanyabiashara waliopo stendi ya mabasi mkoani hapa.
Elimu ya kujikinga na Virusi vya Corona ikiendelea kutolewa.
TYEC wakijadiliana baada ya kutoa elimu hiyo stendi ya mabasi mkoani hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...