Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya AbsaTanzania, Patrick Foya (kushoto), baada yakupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19). kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo
ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa, vitakasa mikono na gloves vyenye thamani ya shs milioni 20 vimekabidhiwa katika ofisi za wizara hiyo jijini Dar
es Salaam leo.

:Mkurugenzi Rasilimali watu na Utumishi wa Benki ya Absa TanzaniaPatrick Foya (kushoto), akizungumza katika hafla ya kukabidhi msaada
wa vifaa tiba kusaidia juhudi za serikali katika kupambana na ugonjwa
wa corona (Covid-19), kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati). kulia ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof.
Mabula Daudi Mchembe.Vifaa hivyo vikiwemo barakoa, vitakasa mikono na
gloves vyenye thamani ya shs milioni 20 vimekabidhiwa katika ofisi za
wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy
Mwalimu, akizungumza wakati akipokea vifaa tiba kutoka kwa Mkurugenzi
wa Rasiliamali Watu na Utumishi wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick
Foya (kushoto) ikiwa ni mchango wa benki hiyo katika kusaidia juhudi
za serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu
inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19). Vifaa hivyo vikiwemo
barakoa, vitakasa mikono na gloves vyenye thamani ya shs milioni 20
vimekabidhiwa katika ofisi za wizara, Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...