RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akiangalia ramani ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa inayotarajiwa kujengwa Binguni  Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja  wakati alipotembelea Eneo maalum la ujenzi huo leo akiwa katika ziara maalum ya kikazi (kulia) Injinia wa Ujenzi Ramadhan China na (katikati) Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed,
RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto)akiangalia ramani ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa inayotarajiwa kujengwa Binguni  Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja  wakati alipotembelea Eneo maalum la ujenzi huo leo akiwa katika ziara maalum ya kikazi (kushoto) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, (kulia) Injinia wa Ujenzi Ramadhan China na (katikati) Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed
RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya  Bi Asha Ali Abdalla (wa pili kulia) alipotembelea kituo cha Utafiti wa Afya  Binguni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja  akiwa katika ziara maalum aliyoifanya leo (kulia)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheir na (wa pili kushoto) Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed,[Picha na Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...