Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akimpatia vitendea kazi Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam baada ya kuampisha.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akizungumza mara baada ya kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam.
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Wilbert Chuma (wa kwanza kulia) akizungumza jambo kabla ya uapisho huo.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akimuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akitia saini hati ya kiapo cha Hakimu  Mkazi, Mhe. Olivia Towilo leo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha.
Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kevin Mhina na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Sharmillah Sarwatt wakihudhuria uapisho huo. Aliyeketi nyuma ni Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Bw. Humphrey Paya. (Picha na Magreth Kinabo- Mahakama)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...