Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt.
Albina Chuwa wa wajumbe kutoka NBS, akiongoza kikao cha Wakuu wa Takwimu
kwa nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika
(SADC), kilichojadili kuhusu itifaki ya takwimu za nchi hizo, kikao
hicho kilifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere,
Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video leo Juni 12, 2020

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt.
Albina Chuwa, akizungumza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Wakuu wa
Takwimu kwa nchi za SADC (kama inavyoonekana kwenye picha)
kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere,
Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video leo Juni 12, 2020.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt.
Albina Chuwa, akizungumza jambo kwa wajumbe wa kikao cha wakuu wa
takwimu kwa nchi za SADC, kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video leo
Juni 12, 2020.

Wajumbe wa Kikao cha Takwimu cha
nchi za SADC kutoka Tanzania wakiongozwa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali,
Dkt. Albina Chuwa( wa kwanza kulia), wakiwa katika kikao hicho
kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere,
Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video leo Juni 12, 2020..
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...