Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam alipowasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam leo Juni 27,2020 kwa ajili ya mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo  na Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Zakaria Mwasasu  wakati wa mkutano wa Majumuisho ya ziara yake ya Kichama Mkoa wa Dar es Salaam kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam  leo Juni 27,2020 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ilala Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salam.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akizungumza nao kwenye mkutano wa Majumuisho ya ziara yake ya Kichama ya Mkoa wa Dar es Salaam leo Juni 27,2020 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ilala Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salam.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza  na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama Mkoa wa Dar es Salaam leo Juni 27,2020 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ilala Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salam. kulia katibu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Zakaria Mwasasu, kushoto Mjumbe wa NEC Mkoa Dar es Salaam Abdul Majid Nassor.
 (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...