Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Ubungo  alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ubungo leo Juni  25,2020 kwa ajili ya kuzungumza na Wajumbe wa Kamati Siasa na Sekretarieti  ya CCM. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Jijini  Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti  ya CCM Wilaya ya Ubungo wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akizungumza nao katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam leo Juni 25,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti  ya CCM Wilaya ya Ubungo  Jijini Dar es  Salaam  leo Juni 25,2020 alipokuwa katika ziara ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa Dar es Salaam.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...