Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amerudisha fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya Pili kupitia chama chake cha Mapinduzi (CCM), leo jijini Dodoma. Kushoto ni Katibu mkuu wa Chama cha mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...