
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki ya Stanbic Tanzania, Bi. Desderia Mwegelo akimkabidhi Mganga Mkuu wa Serikali, Prof Abel Makubi mfano wa hundi yenye thamani ya TZS miliioni 50 ambayo ni mchango wa benki hiyo kwa kazi zinazoendeshwa na Wizara ya Afya. Aliyesimama kulia ni Mkuu wa Idara ya huduma za Biashara na Uwekezaji wa benki ya Stanbic, Bw. Manzi Rwegasira.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...