Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na  Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya.
  Viongozi wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza jana wakati wakitoa tamko l kumpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi wake uliowezesha kutekelezwa miradi mingi ya maendeleo..
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na  Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akisistiza jambo kwenye mkutano na  waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya wa pili kushoto ni Katibu Mweza pia Ramadhani Chanila.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...