Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto meza kuu) akiongoza kikao cha Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji inayoshughulikia masuala ya Kiutumishi na Kiutendaji wa Askari katika Majeshi hayo, katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia Meza Kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christophere Kadio.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akisoma taarifa ya Kikao cha Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji inayoshughulikia masuala ya Kiutumishi na Kiutendaji wa Askari katika Majeshi hayo, kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Kulia ni  Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto meza kuu) akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio (kulia meza kuu), alipokuwa anafafanua jambo katika Kikao cha Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji inayoshughulikia masuala ya Kiutumishi na Kiutendaji wa Askari katika Majeshi hayo. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto meza kuu), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio (kulia meza kuu), wakiwa na Wajumbe wa Kikao cha Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji inayoshughulikia masuala ya Kiutumishi na Kiutendaji wa Askari katika Majeshi hayo, kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...