Meneja Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
Kanda ya Ziwa, Usama Choka (kushoto) akifafanua jambo kwa Kaimu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita Philip Shoni
wakati walipofika Ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya
kuanza zoezi la utoaji elimu kuhusu mwongozo wa uombaji mikopo ya elimu
ya juu kwa Wanafunzi waliohitimu kidato cha sita na Stashahada Wilayani
humo. Kulia ni Afisa Mikopo wa HESLB Jonathan Nkwabi. Mafunzo hayo
yalifanyika leo Jumatano (Julai 29, 2020) katika shule ya Sekondari
Chato. Mkoani Geita









(PICHA NA BODI YA MIKOPO -HESLB)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...