Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt.
Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco
nchini Mhe. Abdelilah Benryane leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini
Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine wamezungumzia jinsi
ya kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Morocco.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...