Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akifungua mafunzo
ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi
zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA) wakati huu wa janga la Corona leo jijini Dar es salaam.







Picha/ Aron Msigwa – WMU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...