Kamishna Jenerali Suleiman Mzee(
wa pili toka kulia) akiangalia mradi wa choo cha kisasa kinachojengwa
chuoni hapo. Wa pili toka kushoto ni Mkuu wa Chuo KPF, Kamishna Msaidizi
wa Magereza Lazaro Nyanga
Mkuu wa Chuo cha KPF, Kamishna
Msaidizi wa Magereza Lazaro Nyanga(kushoto) akimuonesha Kamishna
Jenerali Suleiman Mzee moja ya miradi inayoendelezwa chuoni hapo.
Kamishna Jenerali Suleima Mzee
akiongea na wanafunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu( hawapo pichani),
mara baada ya kuwasili katika Chuo cha KPF Morogoro
Baadhi ya wanafunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu wakimsikiliza Kamishna Jenerali Suleiman Mzee (hayupo pichani)
Baadhi ya wakufunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu wakimsikiliza Kamishna Jenerali Suleiman Mzee (hayupo pichani)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...