Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo ameshiriki kwenye Bazara la Eid El Hajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini (B) Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimaina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo katika ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini (B) Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimaina na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa ambae pia ni Mgombea Urais wa Zanzibar kwa CCM Dkt. Hussein Mwinyi, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo katika ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini (B) Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimaina na Mama Fatma Karume, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo  katika ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini (B) Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, wakiangalia Maulid nje ya ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo katika ukumbi wa Mitihani wa Shule ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini (B) Mkoa wa Kaskazini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...