Leo Mchana katika Ofisi  kuu ya Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa DSM Katibu Mkuu wa UWT mkoa  wa DSM, akimpatia fomu mgombea Ubunge Viti Maalum  nafasi ya NGO Bi. Fatuma Abdallah Kange. Bi Fatuma Kange ni Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya GS1 Tanzania anahudumia maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...