Katibu wa CCM Moshi Vijijini, Miriam Kaaya akimtakia kila lakheri Mwandishi
wa Habari Idda Mushi mara baada ya kurejesha fomu
yake ya kuwani Ubunge Kwa tiketi ya chama hicho leo Julai
15,majira ya mchana
Mwandishi
wa Habari Idda Mushi akisubiri maelekezo mara baada ya kurejesha fomu
yake ya Ubunge Kwa Katibu wa CCM Moshi Vijijini, Miriam Kaaya leo Julai
15,majira ya mchana





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...