Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji Rufaa (Mst),
Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi na
Wasimamizi wa Uchaguzi kilichofanyika leo Julai 24,2020 Jijini Dodoma.
Wasimamizi hao ni kutoka Halmashauri zote za Tanzania Bara. (Picha na
NEC).
Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 wakimsikiliza
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji Rufaa (Mst),
Semistocles Kaijage (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa kikao kazi
cha wasimamizi wa uchaguzi nchini, iliyofanyika Jijini Dodoma
leo Julai 24,2020
. (Picha na NEC)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...