Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji  Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi na Wasimamizi wa Uchaguzi kilichofanyika leo Julai 24,2020 Jijini  Dodoma. Wasimamizi hao ni kutoka Halmashauri zote za Tanzania Bara. (Picha na NEC).
Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 wakimsikiliza  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha wasimamizi wa uchaguzi nchini, iliyofanyika Jijini Dodoma leo Julai 24,2020 . (Picha na NEC)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...