Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Mwenyekiti wa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kisukulu Shaban Uronu amechukua fomu ya ya kugombea ubunge katika Jimbo la Segerea.
Akizungumza na Mwandishi wa Michuzi Michuzi TV Mwenyekiti huyo amesema amefikia uamuzi huo ili kuweza kusukuma gurudumj la maendeleo kwa wanasegerea pale tu atakapoteuliwa katika chama.
Amesema kuwa anachosubiri ni katika mchakato ndani ya chama akipita hapo ni kuipepelusha bendera ya chama hicho.Amesema uwezo anao wa kupeperusha bendera hiyo kutokana na kuwa karibu na wananchi wa Jimbo hilo.
Aidha amesema kuwa kazi ni kuendeleza mazuri zaidi kutokana na sera za Rais Dkt.John Pombe Magufuli ya kuwainua wanyonge.Uronu amesema Mbarali ikifanikiwa kupita itabadilika Sana kutokana na michango yake katika kuweza kutatua changamoto.
"Hapa ninachosubiri ni kuungwa mkono na wanachama wa Jimbo kunichagua kwa lengo moja ya kupigania maendeleo ya wanambarali na kauli mbiu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kwenda kisasa zaidi kuleta mabadiliko ya kiuchumi"amesema Uronu.
Hata hivyo amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye vikundi.
Mwenyekiti wa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kisukulu Shaban Uronu amechukua fomu ya ya kugombea ubunge katika Jimbo la Segerea.
Akizungumza na Mwandishi wa Michuzi Michuzi TV Mwenyekiti huyo amesema amefikia uamuzi huo ili kuweza kusukuma gurudumj la maendeleo kwa wanasegerea pale tu atakapoteuliwa katika chama.
Amesema kuwa anachosubiri ni katika mchakato ndani ya chama akipita hapo ni kuipepelusha bendera ya chama hicho.Amesema uwezo anao wa kupeperusha bendera hiyo kutokana na kuwa karibu na wananchi wa Jimbo hilo.
Aidha amesema kuwa kazi ni kuendeleza mazuri zaidi kutokana na sera za Rais Dkt.John Pombe Magufuli ya kuwainua wanyonge.Uronu amesema Mbarali ikifanikiwa kupita itabadilika Sana kutokana na michango yake katika kuweza kutatua changamoto.
"Hapa ninachosubiri ni kuungwa mkono na wanachama wa Jimbo kunichagua kwa lengo moja ya kupigania maendeleo ya wanambarali na kauli mbiu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kwenda kisasa zaidi kuleta mabadiliko ya kiuchumi"amesema Uronu.
Hata hivyo amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye vikundi.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Idd Mkoa (kushoto)akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Segerea Mwenyekiti wa CCM kata ya Kisukulu Shaban Orunu katika ofisi za chama hicho Leo Ilala jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...