Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli akishuhudia Mkuu wa Morogoro Mhe. Loatha Ole  Sanare
akimuapisha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Ismail
Twahir Mlawa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli akimuapisha baada ya kumthibitisha Bw. James Kaji kuwa
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini
(DCEA) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020. 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akimuapisha Bi. Mriam Perla Mbaga kuwa Katibu Tawala wa mkloa wa
Simiyu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akimuapisha wa Polisi Thobias Emir Andengenye kuwa Mkuu wa Mkoa wa
Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti
akimuapisha Kanali Mathias Kahabi  kuwa Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo
kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli akishuhudia Mkuu wa Morogoro Mhe. Loatha Ole  Sanare
akimuapisha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Ismail
Twahir Mlawa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Pwani akimuapisha Mhandisi Martine Ntemo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungmza na viongozi aliowateua leo.
 PICHA NA IKULU 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...