RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akizungumza na familia ya Marehemu Haji Nassib Haji (Nyanya)
alipofika nyumba kwa marehemu bububu kwa nyanya alipofika kutowa mkono
wa pole kwa Familia (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein na aliyejifunika kanga Mjane wa Marehemu Bi.Zainab
Nyanya.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akiitikia dua ya kumuombea Marehemu Mzee Haji Nassib Haji Nyanya
na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na
Wanafamilia wakiitikia dua, alipofika kutowa mkono wa pole kwa Familia
ya marehemu nyumbani kwake Bububu kwa Nyanya.(Picha na Ikulu)
Home
HABARI
ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AMETOWA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA HAJI NASSIN HAJI NYANYA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...