Afisa Masoko RITA, Edwin Mbekenga akiwaelekeza wananchi namna ya kujaza fomu za cheti cha kuzaliwa leo katika maonesho ya 44 ya Kimataifa Sabasaba wilaya Temeke jijini Dar es Salaam.
Watumshi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wakiwaelekeza wananchi namna ya kujaza fomu za cheti cha kuzaliwa leo katika maonesho ya 44 ya Kimataifa Sabasaba wila ya Temeke jijini Dar es Salaam.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...