Afisa Masoko RITA, Edwin Mbekenga akiwaelekeza wananchi namna ya kujaza fomu za cheti cha kuzaliwa leo katika maonesho ya 44 ya Kimataifa Sabasaba wilaya Temeke jijini Dar es Salaam.


Watumshi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wakiwaelekeza wananchi namna ya kujaza fomu za cheti cha kuzaliwa leo katika maonesho ya 44 ya Kimataifa Sabasaba wila ya Temeke jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mstari mirefu wakipata huduma ya vyeti vya kuzaliwa katika banda la Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) leo katika maonesho ya 44 ya Kimataifa Sabasaba wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...