Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa, nyumbani kwa marehemu , Masaki jijini Dar es salaam, Julai 24, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu,   Mhe. Benjamin William Mkapa, nyumbani kwa marehemu, Masaki jijini Dar es salaam, Julai 24, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu,   Mhe. Benjamin William Mkapa, nyumbani kwa marehemu, Masaki jijini Dar es salaam, Julai 24, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, marehemu Benjamin William Mkapa ambako walikwenda kutoa pole kwa familia, Julai 24, 2020.  Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Abubakar Kunenge na wa tatu kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Godfrey Chongolo. 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...