Eneo la bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto
Mtandazi la Kampuni ya Andoya, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,
Mhandisi Leonard Masanja, alipofanya ziara ya kukagua shughuli za
kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma,
Agosti 01, 2020.
Jiwe la msingi la Kampuni ya Andoya liliwekwa na Waziri Mkuu Mstaafu,
Mizengo Pinda kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya
maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,alipofanya ziara ya kukagua
shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, wilayani Mbinga Mkoani
Ruvuma, Agosti 01, 2020.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,
(katikati) akipita kukagua mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia
maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi ya kampuni ya Andoya, alipofanya
ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika mradi huo, wilayani
Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,
akiwasili katika eneo la bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko
ya maji ya Mto Mtandazi la Kampuni ya Andoya, alipofanya ziara ya
kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo, wilayani Mbinga
Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.Moja
ya Nguzo za umeme zinazotumika kusambaza umeme unaozalishwa na Kampuni
ya Andoya kwa wakazi wa vijiji vitatu vilivyo karibu na mradi huo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,
(katikati)akitoa maagizo kwa Meneja wa kituo cha kuzalisha umeme cha
Andoya,Mhandisi Jasper Bubelwa wa Kampuni ya Andoya, alipofanya ziara ya
kukagua shughuli za kuzalisha Umeme kwa kutumia maporomoko ya Maji ya
Mto Mtandazi, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.
Meneja wa kituo cha kuzalisha umeme cha Andoya,Jasper Bubelwa ,akimpa
maelezo ya uzalishaji wa umeme katika kampuni hiyo, Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja,(wa pili kulia) alipofanya
ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme kwa kutumia maporomoko ya
Maji ya Mto Mtandazi, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.
Aina ya mita zinazotumiwa na wateja wa Umeme wa Andoya katika vijiji
vitatu vilivyokaribu na mradi huo ambazo zinamruhusu mteja kutumia
huduma ya umeme kabla ya kulipia.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja, (kulia)
akipata maelezo katika eneo la Bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia
maporomoko ya maji ya Mto Mtandazi ya kampuni ya Andoya kutoka kwa
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Alex Andoya(kushoto), alipofanya
ziara ya kukagua shughuli za kuzalisha Umeme katika kampuni hiyo,
wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma, Agosti 01, 2020.Wa pili kushoto ni
Kamishna Msaidizi wa Umeme, Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga
na wapili kulia na Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni hiyo, Janeth
Andoya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...