Wajasiriamali wa biashara ya Matunda katika eneo la kariakoo  wilaya Ilala jijini Dar es salaam wakiwahudumia wateja wake kama wanavyooneka pichani.
(Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi Tv)   Bei ya  'Apple' ni shlingi 500.hadi 1000 katika kituo  kikuu cha mabasi  kigamboni jijini Dar es Salaam.
        Mjasiriamali wa biashara ya Genge katika eneo la njiapanda ya Makabe                 wilaya Ubungo jijini Dar es salaam akiwahudumia wateja wake kama                    anavyooneka pichani.         Bei ya Mapapai katika  hapo ni kati ya Sh.1000 hadi Sh.3000  
(Picha na  Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...