WAKIZUNGUMZA na Michuzi Tv leo jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wameeleeza kuwa hali iko shwari kibiashara na matunda yanauzika, wateja wao wamekuwa wakipita sokoni hapo kujipatia matuda mbalimbali kuligana na mahitaji yao.Wafanyabiashara wa matunda katika soko la Simu 2000 wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam akimhudumia mteja kama wanavyooneka pichani. ambapo Bei ya Ndizi ni Sh 100 hadi Sh. 150

Bei ya Tikitiki maji leo ni Sh 1000 hadi Sh. 4500.
Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...