Mkuu wa Takwimu za Bei kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Abdul-rahman Msham akitoa takwimu za Mfumuko wa Bei ambapo umeonekana kupanda kwa asilimia 3.6 kutoka asilimia 3.4 June 2020 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa serikali Zanzibar.
Baadhi ya viongozi na Wageni Waalikwa waliohudhuria katika hafla ya utoaji wa Takwimu za Mfumuko wa Bei ambapo umeonekana kupanda kwa asilimia 3.6 kutoka asilimia 3.4 June 2020 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa serikali Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...