Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Abubakar Kunenge (kushoto) akipokea sehemu ya vitendea kazi kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, katika hafla fupi ya mahabidiano ya ofisi yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Abubakar Kunenge (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es salaam leo, baada ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Mtangulizi wake, Paul Makonda.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...