Mgombea wa Urais ,John Shibuda akikabidhiwa Begi lenye Fomu ya Kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA-TADEA katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma.
Mgombea wa Urais ,John Shibuda wakionyesha Begi lenye Fomu ya Kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA-TADEA katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 pamoja na Mgombea Mwenza Hassan Kijogoo mara baada ya kuchukua Fomu hizo katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa leo jijini Dodoma.
Mgombea wa Urais ,John Shibuda kupitia Chama cha ADA-TADEA katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 akisaini Kitabu mara baada ya kuchukua Fomu hizo za Kugombea Urais katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa leo jijini Dodoma
Mgombea Mwenza kupitia Chama cha ADA-TADEA Hassan Kijogoo akisaini kitabu katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa leo jijini Dodoma.
Mgombea wa Urais ,John Shibuda wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA-TADEA katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 akiagana na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma mara baada ya kuchukua Fomu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...