Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( katikati)
akionesha nembo ya Muhuri wa Usalama wa wasafiri iliyotolewa kwa
Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini Dar
es salaam. Wengine wanaoshuhudia tukio hilo ni Msanii wa Muziki wa
kizazi kipya Diamond Platinum na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya
Utalii Tanzania, Richard Rugimbana.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( katikati)
akisalimiana na Mwanamuziki Zuchu wakati wa uzinduzi wa matumizi ya
nembo ya Muhuri wa Usalama wa wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na
Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam.
Kulia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Utalii Tanzania, Richard
Rugimbana.Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( kulia) akisalimiana
na Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Harmonize (kushoto) wakati wa
uzinduzi rasmi wa matumizi ya nembo ya Muhuri wa Usalama wa wasafiri
iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC)
leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( katikati) akiwa
katika mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya uzinduzi
matumizi ya Muhuri wa Usalama wa wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na
Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam.Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( katikati) akifurahia
jambo akiwa ameshika kijarida chenye nembo ya Muhuri wa Usalama wa
wasafiri ambayo imetolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii
Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam. Matumizi ya nembo hiyo
yanaitambulisha Tanzania kuwa nchi salama kwa wageni mbalimbali hususani
watalii wanaokuja kutembelea vivutio mbalimbali. Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati), Naibu Waziri
wa Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu, Katibu Mkuu wa Wizara
ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki (wa tatu kutoka kushoto) na
Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii,
Mkurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus
Matindi wakionesha nembo ya Muhuri wa Usalama kwa Wasafiri iliyotolewa
kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini
Dar es salaam.Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ( katikati) akionesha
nembo ya Muhuri wa Usalama wa wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na
Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam
akiwa na Mwanamitindo Millen Magese na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama
vya Utalii Tanzania, Richard Rugimbana.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati), Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu, Katibu Mkuu wa
Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki wakionesha nembo ya
Muhuri wa Usalama kwa Wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la
Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) wakati wa uzinduzi wa matumizi ya
nembo hiyo leo jijini Dar es salaam
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto)
akizungumza wakati wa tukio la uzinduzi wa matumizi ya Muhuri wa Usalama
kwa Wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii
Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Naibu Waziri wa
Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki
akizungumza wakati wa uzinduzi wa matumizi ya Muhuri wa Usalama kwa
Wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii
Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam. Wengine wanaoonekana pichani ni
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Utalii Tanzania, Richard
Rugimbana, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),
Devotha Mdachi na Mkurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)
Mhandisi Ladislaus Matindi.Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jaji Mstaafu
Thomas Mihayo akizungumza wakati wa tukio la uzinduzi wa matumizi ya
Muhuri wa Usalama kwa Wasafiri iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la
Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC) leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla, Naibu Waziri wa
Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu, Katibu Mkuu wa Wizara ya
Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki na watendaji wengine wakifuatilia
matukio mbalimbali ya uzinduzi wa Muhuri wa Usalama wa wasafiri
iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC)
leo jijini Dar es salaam.Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu (kulia)
akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce
Nzuki leo jijini Dar es salaam uzinduzi wa Muhuri wa Usalama wa wasafiri
iliyotolewa kwa Tanzania na Baraza la Wasafiri na Utalii Duniani (WTTC)
leo jijini Dar es salaam.
Picha/ Aron Msigwa – WMU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...