Mbunge jimbo la Mkuranga, Abdallah Hamisi Ulega (kulia) leo Agosti 25, 2020 akirudisha fomu za kuomba kuteuliwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ambaye ndie msimamizi wa uchaguzi, Mhandisi Mshamu Munde.
Mgombea wa Ubunge jimbo la Mkuranga,Abdallah Hamisi Ulega akisaini fomu wakati wa kurudisha fomu za kuomba kuteuliwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga,Mhandisi Mshamu Munde.
(Piha na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...