Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi, Stanley Kulyamo akionyesha kisu na nondo mbili zilizoviringishwa bendera  za ACT WAZALENDO ambazo walikamatwa nazo vijana watatu kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Ruangwa, Agosti 24, 2020.  Alikuwa akizungumza na  Waandishi wa habari kwenye Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ruangwa, Agosti 24, 2020.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi, Stanley Kulyamo akionyeshwa nondo mbnili zilizoviringishwa bendera  za ACT WAZALENDO ambazo walikamatwa nazo vijana watatu kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Ruangwa, Agosti 24, 2020. Alikwa akizungumza na  Waandishi wa habari kwenye ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ruangwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...