Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk.Damas Ndumbaro akicheza gofu wakati wa mashindano ya ndani ya mwezi yaliyoandaliwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf jijini Dar es Salaam.
Kain Mbaya, mchezaji gofu wa klabu ya Lugalo akipiga mpira wakati wa mashindano ya ndani ya gofu yaliyoandaliwa na Kampuni ya simu za mkononi Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf jijini Dar es Salaam.
Nicholous Chitanda, mchezaji gofu wa klabu ya Lugalo akicheza wakati wa mashindano ya ndani ya gofu yaliyofanyika jana katika viwanja vya lugalo jijini Dar es salaam na kuandaliwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...