Mapema leo Kamishna wa Operesheni
na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini,CP Liberatus Sabas(kushoto)
amewasili mkoani Morogoro kwaajili ya ukaguzi wa utayari kwa Askari
mkoani humo katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa Rais,
Wabunge na Madiwani,(kulia) Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Wilbroad
Mutafugwa (PICHA NA JESHI LA POLISI)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...