Mkuu wa wilaya ya Rorya Simon
Odunga (wa pili kushoto) akimshukuru mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin
Babu (wa kwanza kulia) kumwalika kuwa Mgeni rasmi uzinduzi wa mbio za
Serengeti Migration Marathon zilizodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya
Serengeti (SBL) pamoja na makampuni mengine kwa ajili ya uhamasiahaji wa
utunzaji wa mazingira. Mbio hizo zilifanyika jana wilayani Serengeti
mkoani Mara.
Baadhi
ya washiriki wa mbio za Serengeti Migration Marathon wakionyesha medali
zao baada ya kuweza kumaliza mbio hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya
Bia ya Serengeti (SBL) pamoja na makampuni mengine kwa ajili ya
uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira. Mbio hizo zilifanyika jana
wilayani Serengeti mkoani Mara.
Klabu ya wakimbiaji kutoka kanda ya ziwa, wakishangilia baada ya kufanikiwa kumaliza mbio za Serengeti Migration Marathon, wakikimbia katika mbio hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) pamoja na makampuni mengine kwa ajili ya uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira. Mbio hizo zilifanyika jana wilayani Serengeti mkoani Mara.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...