Msajili wa Bodi wa Wahandisi nchini (ERB), Eng. Patrick Barozi akifafanua jambo alipokagua mradi wa ujenzi wa barabara katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma.

Muonekano wa barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma.

Muonekano wa kalvat linalojengwa kuunganisha barabara za mzunguko katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma.

Mtaalam wa ujenzi wa viwanja vya ndege eng. Focus Kadeghe akifafanua jambo kwa wahandisi kutoka Bodi ya Usajili wa wahandisi nchini (ERB), walipokagua ukarabati wa kiwanja cha ndege cha Dodoma.

Eng. Nzigula Sospeter mkuu wa kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma akifafanua jambo kwa wahandisi toka (ERB),hawapo pichani walipokagua ukarabati wa kituo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...