Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mtwa wa Wahehe Chifu Adam Mkwawa baada ya kuhutubia maelfu kwa maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa leo

  

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kuhutubia maelfu kwa maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa

Mtwa wa Wahehe Chifu Adam Mkwawa akimkaribisha na kumuombea kura pamoja na ushindi wa kishindo Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mbele ya maelfu kwa maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa

 

Sehemu ya nyomi iliyojitokeza kumsikilkiza Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa

Wagombea ubunge wa majimbo ya mkoa wa Iringa wakimshangilia Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akihutubia katika  mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimuombea kura mgombea ubunge wa jimbo la Iringa mjini Ndugu Jesca Msambatavangu mbele ya maelfu kwa maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Samora Machel mjini Iringa leo Jumatatu Septemba 28, 2020

PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...