Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa  na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimsikiliza mgombea ubunge wa CCM wa Jimbo la Tanga Mjini ambaye pia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati ambaye aliwaomba wananchi wa Tanga wampigie kura Mgombea Urais wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wa CCM katika mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tangamano jijini Tanga

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimnadi Mgombea Ubunge  wa CCM katika Jimbo la Tanga Mjini ambaye pia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Tangamano jijini Tanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM  Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tangamano jijini Tanga
 Wananchi wa Jiji la Tanga wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye  uwanja wa Tangamano jijini humo
Wasanii Mrisho Mpoto  (kushoto) na Banana Zoro wakiimba katika mkutano wa kampeni za CCM uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Tangamano jijini Tanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...