Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa Meatu, mkoani Simiyu, wakati akiwasili katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika kwenye viwanja vya Stendi, Kata ya Mwanhuzi
Wananchi wa Kata ya Mwanhuzi-Meatu, mkoani Simiyu, wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika kwenye viwanja vya Stendi, Septemba 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa Meatu, mkoani Simiyu, wakati akiwasili katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika kwenye viwanja vya Stendi, Kata ya Mwanhuzi,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...