Mnec wa Iringa ambaye pia ni Mratibu wa Kampeni wa Kanda ya Nyanda za Juu kusini Ndg Salim Abri (Asas) hii leo ametembelea Jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma na kumnadi Ndg Vita Kawawa (kulia)  Mgombea Urais kupitia chama cha mapinduzi Mh John Pombe Magufuli ambapo pia amewaomba wananchi kumpa kupiga kura zote kwa CCM kwa ngazi zote yaani Diwani, Mbunge na Rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...