Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA) inapenda kuwakaribisha wananchi na wadau wake wote wanaopenda kujiunga  na Taaluma ya Uhasibu na Ukaguzi nchini, kutembelea Banda lake katika Maonesho ya 15 ya Vyuo Vikuu yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.


Mkurugenzi wa Bodi ya NBAA, CPA Pius Maneno akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.Afisa Mdhibiti wa Viwango wa  NBAA, Bertha Kipangula (kushoto) akimuonyesha gharama mpya za ada ya mitihani ya Bodi iliyoanza tarehe 01, Julai 2020, mwananchi aliyetembelea banda la NBAA  katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.  

Msaidizi wa Uhasibu wa NBAA, David Iman akitoa elimu kuhusu namna ya kufanya mitihani ya Bodi kwa  Francis Kikoti pamoja na Living Mhina walipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi  wa Hesabu Tanzania(NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.
Afisa Utafiti kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania(NBAA), Michael Mwakifuna(kulia) akiwafafanulia muundo wa mitihani ya Bodi Albert Mwesi na Deogratus Jimmy walipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.
Afisa Masoko na Mawasiliano wa NBAA Magreth Kageya(kulia) akitoa elimu kwa wanafunzi Albert Mwesi na Deogratus Jimmy walipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania (NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. Wa pili kulia ni Afisa Utafiti kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA), Michael Mwakifuna .
Msaidizi wa Uhasibu wa NBAA, David Iman(kushoto) pamoja na Afisa Mdhibiti wa Viwango wa Hesabu wa NBAA, Bertha Kipangula(katikati) wakimsikiliza mzee Robert Muhina alipokuwa anauliza maswali kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na Bodi alipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. 
Afisa Utafiti kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA), Michael Mwakifuna akiwafafanulia muundo wa mitihani ya Bodi kwa  Albert Mwesi na Deogratus Jimmy walipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. Kulia ni Afisa Masoko na Mawasiliano wa NBAA Magreth Kageya.
Msaidizi wa Uhasibu wa NBAA, David Iman(kulia)  akimuonyesha gharama mpya za mitihani ya Bodi kwa afisa wa Chuo cha Ushirika Moshi alipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania(NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.
Afisa Mdhibiti wa Viwango wa NBAA, Bertha Kipangula(kulia) akitoa ufafanuzi kuhusu ufanyaji wa mitihani ya Bodi kwa Afisa wa Chuo cha Ushirika Moshi alipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania(NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. Msaidizi wa Uhasibu wa NBAA, David Iman.
Msaidizi wa Uhasibu wa NBAA, David Iman(kushoto) akitoa elimu kuhusu NBAA kwa Mussa Shaban alipotembelea banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA) katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.

Baadi ya maafisa wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA) wakiwa kwenye picha ya pamoja katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.

Mkurugenzi wa Bodi ya NBAA, CPA Pius Maneno(wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadi ya maafisa wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA)  katika maonesho ya 15 ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU) yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...