Spika wa Bunge, Job Ndugai (watatu kulia) akikata utepe wakati akizindua jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida. Watatu kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika, Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Mhe. Rahabu Mwagisa (wapili kushoto), Mkurugenzi wa Uzuiaji Rushwa kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Ndg. Sabina Seja (wapili kulia) na Mbunge wa Manyoni Magharibi, Mhe. Yahaya Masare.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na viongozi wa wilaya, watumishi wa TAKUKURU na wageni mbalimbali kabla ya kuzindua jengo la Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika akizungumza na watumishi wa TAKUKURU na wageni mbalimbali (hawapo kwenye picha) kabla ya uzinduzi wa jengo la Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.
Mkurugenzi wa uzuiaji Rushwa kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Ndg. Sabina Seja akizungumza na viongozi wa wilaya, watumishi wa TAKUKURU na wageni mbalimbali (hawapo kwenye picha) kabla ya uzinduzi wa jengo la Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.Spika wa Bunge, Job Ndugai akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili kwa ajili ya kuzindua jengo la Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa baada ya kuzindua jengo la Taasisi hiyo Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida. Wapili kushoto waliokaa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa  Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika, Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Mhe. Rahabu Mwagisa (kushoto waliokaa) na Mkurugenzi wa Uzuiaji Rushwa kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Ndg. Sabina Seja (wapili kulia waliokaa)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...